Dk Iyyovngchan Ktm kutoka Shirika la Maendele la Korea (KOICA) akisisitiza jambo kwa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa wakati kwa kuagana na watumishi sita wa afya wa Manispaa hiyo waliopata nafasi ya kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini chini ya ufadhiliwa KOICA kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika.Kulia kwa Dr Iyyovngchan ni Afisa kutoka KOICA Seongbeom Ktm na wengine ni watumishi wataokwenda Korea.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akiagana na Afisa kutoka shirika la Maendeleo la Korea Kusini (KOICA) Seongbeom Ktm muda mfupi baada ya hafla ya kuwaaga watumishi sita wa wa afya wa Manispaa ya Ilala waliopata nafasi ya kwenda kuongeza ujuzi nchini Korea Kusini chini ya ufadhili wa KOICA kwa ajili ya kuboresha huduma katika hospitali itakayojengwa Chanika. Kati kati ni Dk Iyyovngchan Ktm kutoka KOICA.
No comments:
Post a Comment