CHENGE NI MAJUTO; Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Slaa, amesema Mbunge wa Bariadi Magharibi, Chenge hafai kuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba.
Wednesday, February 26, 2014
Tuesday, February 25, 2014
NI AIBU ILIOJE BUNGE LA KATIBA!
NIMSHUKURU sana Mwenyezi Mungu kwa mara nyingine kwa kutuwezesha kuwa
pamoja tena leo, tukijadili mambo muhimu ya taifa letu, ambalo kwa sasa
lipo katika mchakato wa kupitia Rasimu ya Katiba, ambao kama utakwenda
vizuri, nchi yetu itakuwa na katiba mpya wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao.

Zaidi ya Watanzania wenzetu 640 wapo katika majengo ya Bunge mjini Dodoma, wakiifanya kazi hiyo muhimu kabisa, ambayo inahitaji umakini wa hali ya juu na weledi wa kutosha, vinginevyo taifa linaweza kupata kitu ambacho kitakuwa ni hasara kwa kizazi hiki na kijacho, kwani tungetegemea suala hili angalau lilete utulivu na tofauti kwa miaka mingi ijayo.
Wajumbe hawa waliokusanyika Dodoma, ndiyo wanategemewa kutupatia katiba itakayokubaliwa na makundi yote ya wananchi, kufuatia karibu kila kada kuwa na wawakilishi wao katika bunge hili maalum la Katiba.
Tanzania kama taifa, lina changamoto nyingi sana zinazozuia maendeleo yake. Wengi wamekuwa wakisema kuwa kukwama kwetu kuendelea, kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na matakwa ya kikatiba. Kwamba baadhi ya sheria, zinazotokana na Katiba, zinawazuia wananchi na nchi katika maeneo mengi.
Licha ya maendeleo, nchi yetu bado inahitaji amani na utulivu kwa kiwango kikubwa kuliko wakati mwingine wowote. Ni bunge hili la Katiba ndilo lenye wajibu wa kuangalia namna nzuri ya kuhakikisha maisha haya tuliyonayo, yanaboreshwa na ikiwa haina budi, kutungiwa sheria kali zaidi ilimradi tu watu waendelee kuishi bila kuogopa kitu ndani ya mipaka yao.
Zaidi ya Watanzania wenzetu 640 wapo katika majengo ya Bunge mjini Dodoma, wakiifanya kazi hiyo muhimu kabisa, ambayo inahitaji umakini wa hali ya juu na weledi wa kutosha, vinginevyo taifa linaweza kupata kitu ambacho kitakuwa ni hasara kwa kizazi hiki na kijacho, kwani tungetegemea suala hili angalau lilete utulivu na tofauti kwa miaka mingi ijayo.
Wajumbe hawa waliokusanyika Dodoma, ndiyo wanategemewa kutupatia katiba itakayokubaliwa na makundi yote ya wananchi, kufuatia karibu kila kada kuwa na wawakilishi wao katika bunge hili maalum la Katiba.
Tanzania kama taifa, lina changamoto nyingi sana zinazozuia maendeleo yake. Wengi wamekuwa wakisema kuwa kukwama kwetu kuendelea, kunachangiwa kwa kiasi kikubwa na matakwa ya kikatiba. Kwamba baadhi ya sheria, zinazotokana na Katiba, zinawazuia wananchi na nchi katika maeneo mengi.
Licha ya maendeleo, nchi yetu bado inahitaji amani na utulivu kwa kiwango kikubwa kuliko wakati mwingine wowote. Ni bunge hili la Katiba ndilo lenye wajibu wa kuangalia namna nzuri ya kuhakikisha maisha haya tuliyonayo, yanaboreshwa na ikiwa haina budi, kutungiwa sheria kali zaidi ilimradi tu watu waendelee kuishi bila kuogopa kitu ndani ya mipaka yao.
Saturday, February 22, 2014
PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013
PATA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013
KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013; INGIA HAPA:====>>http://bit.ly/1gptk9t
KUONA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013; INGIA HAPA:====>>http://bit.ly/1gptk9t
MB DOG,FAMILIA YAKE, KABAAH!
Staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb Dog’.
BAADA ya kupotea kwa muda, huku wengi wakishindwa kutambua anaishi
wapi na nani, hatimaye picha za staa wa Bongo Fleva, Mbwana Mohamed ‘Mb
Dog’ na familia yake zimenaswa!Kutokana na desturi ya staa huyo kukaa ‘mbali’ na kamera husan katika masuala yahusuyo familia, paparazi wetu alimuotea nyumbani kwake Kawe, jijini Dar na kumtandika picha kadhaa kabla ya kumfanyia mahojiano.
Licha ya kuonekana kutopenda kuanika sana mambo yake ya kifamilia, Mb Dog aliyewahi kutamba na wimbo la Latifa, alifunguka kwa kifupi kuwa, aliyekuwa naye ni mkewe na amebahatika kuzaa naye watoto wawili.
CHUCHU, RAY WAMMWAGIA MINOTI CHOKY
WAPENDANAO, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’
waligeuka mapedeshee kwa muda baada ya kummwagia fedha za kutosha,
Mkuruguenzi wa Bendi ya Extra Bongo, Ally Choky.

Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ katika pozi.
Tukio hilo lililoteka hisia za mashabiki wa bendi hiyo lilitokea
juzikati katika Ukumbi wa Meeda, Dar ambapo Ray aliyekuwa ameambatana na
ubavu wake huo, walionekana ukumbini humo wakipata vinywaji, baadaye
muda ulivyozidi kwenda, wakanogewa na rhumba la Choky na kuanza kutunza.
“Mh! Leo mtu na mtuwe wamegeuka mapedeshee, wanamwaga minoti ya kufa
mtu, hata hazihesabiki…hatari,” alisikika shabiki mmoja aliyeshuhudia
tukio hilo.
Friday, February 21, 2014
AJALI
Watu 11 wamepoteza maisha nchini Tunisia baada ya ndege ya jeshi la Libya kuanguka nchini humo ambayo ilikuwa imebeba madokta na wagonjwa leo asubuhi.
POSHO YA WABUNGE YAPINGWA
Wananchi wamepinga mpango wa wabunge wa Bunge la Katiba kutaka waongezewe posho kutoka Sh.300,000 wanazolipwa kwa siku.
HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA USIKU WA VALENTINE'S DAY NA SKYLIGHT BAND NDANI THAI VILLAGE
Lubea
wa Skylight Band alitega mingo lango kuu la kuingilia na kugawa Shots
za Tequila pamoja na Sambuka bure kwa wapenzi wa Skylight Band.
Mashabiki
wa Skylight Band wakipata shots za Tequila bure kwenye usiku maalum wa
wapendanao uliofana Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village
Masaki jijini Dar.
Aneth
Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye usiku wa
wapendanao juma lililopita huku akisindikizwa na Mary Lucos, Sony
Masamba na Sam Mapenzi.
Wadadaz na Wakaka wakijimwaga na burudani ya Skylight Band.
Walipendezaje...: Digna Mbepera akifanya yake jukwaani.
MAJEMBE
YA SKYLIGHT BAND....Sam Mapenzi a.k.a asali ya warembo katika hisia
kali kwenye nyimbo za malavidavi huku akisindikizwa na Joniko Flower
pamoja na Sony Masamba.
Palikuwa hapatoshi....kama ulikosa juma lililopita basi burudani inaendelea leo pale pale Thai Village.
MSANII BONGO MUVI ANASA KWENYE MTEGO WA KUJIUZA
ILE skendo ya kukithiri kwa baadhi ya mastaa Bongo kujiuza imechukua sura mpya kufuatia msanii wa Bongo Movies, Isabella Francis ‘Vai wa Ukweli’ naye kunasa mtegoni, Ijumaa lina kisa kizima.
Tukio hilo la aibu kwa tasnia ya sinema nchini lilijiri usiku wa kuamkia Jumanne iliyopita, Sinza ya Vatican jijini Dar es Salaam ambapo baada ya kuumbuka, Vai alijikuta akiangua kilio na kuomba siri hiyo isisambae.
VAI WA UKWELI NI NANI?
Vai ni msanii wa filamu za Kibongo kwa muda mrefu. Amecheza filamu kadhaa zikiwemo Beautiful Liar (ya kwake mwenyewe), Family Apart, Good Fellow na nyinginezo.
MALALAMIKO KWA OFM
Ikiwa katika kutega ‘rada’ zake, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea malalamiko ya listi ya wasanii wa kike wa Bongo Muvi wakidaiwa kujishughulisha na uuzaji wa miili huku jina la Vai likiwa miongoni mwao.
Subscribe to:
Posts (Atom)
HABARI MBALIMBALI
‘Dk. Cheni’
‘Sharo Milionea
‘Thea’
African Women
AGNESS MASOGANGE
AK CLASSIC COSMETICS
ALI KIBA
Amanda Poshy
Ant
ANT LULU
Ashley Toto
Aunt Ezekiel
Aunty Ezekiel
AUNTY LULU
Azam Fc
Baby Madaha
BAHATI BUKUKU
Barnaba
BATULI
BBA
Beauty of the day
Belle 9
BI KIDUDE
BIBI BOMBA
Big Brother
Big Brother Africa
Bill Gates
BINTI KIZIWI
BOB JUNIOR
Bodi ya Filamu
Bongo Movie
Bongo Movies
CCM
CHADEMA
Chombezo
Christina Shusho
Chuchu hans.
Clouds Media Group
Club Bilicanas
DAR LIVE
DAVINA
Dayna Nyange
Diamond
Dida
Diva Loveness Love
Dj Ommy Crazy wa Maisha Club
DOGO JANJA
DOKI
DR.CHENI
DSTV
Dude
Dully Sykes
EBSS 2013
Elizabeth Michael
Epiq Bongo Star Search (EBSS)
ESHA BUHETI
Ester Bulaya
Feza Kessy
FIESTA 2014
Flaviana Matata
FLORA MBASHA
FLORA MVUNGI
Francis Cheka
GARDNER
GLOAL PUBLISHERS
GLOBAL TV ONLINE
H. BABA
Halima Mdee
HAMISA
Happy birthday
Hemedi
Hemedy Suleiman
HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE
Hoyce Temu
Huddah Monroe
HUSINA
IRENE PAUL
Irene Uyoya
ISABELLA
J film 4 life
Jack Chuz
JACK PATRICK
Jacob Steven ‘JB’
Jacqueline Dustan
JACQUELINE WOLPER
Jaji Khamis 'Kashi'
Jay Dee
JENNIFER KYAKA (ODAMA)
JIDE
JINI KABULA
JK
JO
Johari
Jokate Mwigelo ‘Kidot’.
JOTI
Joyce Kiria
Joyce Kiwia
JUX
K-LYNN
KADINDA
kaja
Kajala Masanja
Kapotive Star Singers
KATUNI
Kemmy
Kero Zetu
KHADIJA OMAR KOPA
KIKWETUKWETU
KILI MUSIC AWARDS
KOLETA
Lady Jay Dee
Lady Jaydee
Lake Oil
LAVEDA
Linah Sanga
Linex
Lisa Jensen
Loveness Diva
Lucy Francis Komba
Lulu
M2 The P
MABILIONEA
Madam Rita
MADELA
Magazeti
Mahusiano
Maimartha Jesse
MAINDA
MAISHA
Makala
Malkia Elizabeth
MAMTEI
MANDELA
MARIAM ISMAIL
Masanja Mkandamizaji
Mashindano ya Miss Tanzania
Matangazo
Matonya
MaxMalipo
MAYA
MELLIS EDWARD
MENINAH
MGOSI MKOLONI
Mh Halima Mdee
mic
Michezo
MILLEN HAPPINESS MAGESE
MISS CHANG'OMBE
MISS DAR CITY CENTER
Miss East Africa
MISS REDD'S IRINGA 2013
MISS TANGA 2013.
MISS TANZANIA 2014
Miss Tanzania mwaka 2011
MISS TEMEKE 2014
MISS USTAWI
MISS UTALII TANZANIA 2012/13
Miss vyuo vikuu 2013
MKALA
MREMBO HUDDAH
Mrisho Mpoto
Mrisho Ngassa
MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES.
MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013
Mtitu
muziki
Mwana FA
MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Mzee Majuto
Nancy Sumari
Nani Mtani Jembe?
NAPE
Nassoro ‘Nora’
Natasha
Nay wa Mitego
Necta
Nelly Kamwelu
NEY WA MITEGO
Nisha
NSSF;Zantel
Nyamwela
NYimbo
Nyota yako
OBAMA TANZANIA
OMMY DIMPOZ
P FUNK
PAM D
Peniel Mgilwa ‘Penny’
PETIT MAN
Profesa Jay
Q - CHILA
Q Boy
Q Chilla
QUEEN DARLEEN
RACHEL NDAUKA
RAIS KIKWETE
Rais Kikwete.
Rasimu Ya Katiba TZ
Ray
Ray C
Redd’s Miss IFM
REDD'S MISS KAGERA 2013
REDD'S MISS TZ
REDDS MISS TANZANIA 2014
Redds Miss wa Mikoa
REHEMA FABIAN
RICHIE RICHIE
Rihanna
ROSE MUHANDO
Rose Ndauka
Ruge Mutahaba.
SABASABA 2013
Saida Karoli
Saikolojia
Sajeti
SAJUKI
Sandra
SHAA
Shamsa Ford
Sheikh Ponda
Shilole
Sintah
Siwema
Skin Tricks
Snura Mushi
Spika Makinda
staa
Staa Wetu
Stella Mwangi
STYLE ZA NYWELE
Taifa Stars
Tamasha la matumaini
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013
Tangazo
TANZANIA
TEGO
TENGENEZA WEBSITE NA BLOG
TID
Tundaman
Tupo wangapi?
TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14
Twanga Pepeta
USA PAGEANT 2014
VAI
Wastara
WEMA
WEMA SEPETU
Yanga
Yanga Bingwa 2013
YOUNG D
Yvonne Cherry ‘Monalisa’
Z Anton.
Zari
Zito kabwe