EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Saturday, August 18, 2012

Rooney ashangilia, asema sasa ni Rom + Roo

LONDON, England
KOCHA wa Arsenal, aliyekuwa akisuasua kumuuza Robin van Persie kwenda Manchester United amekubali kwa dau la Pauni 23 milioni.
Arsenal ilithibitisha kukamilika kwa 'dili' hilo na mchezaji huyo amekwenda Manchester kwa ajili ya kufanyiwa vipimo.
 
Klabu hiyo ilikubalia kuanzishwa upya kwa mazungumzo, na lengo ni kumchukua mchezaji huyo na sas Van Persie ni mchezaji halali wa United.
Alex Ferguson alisema, kumsajili mchezaji huyo, sasa itakuwa kazi kwa Manchester City kutetea taji lake.
Wenger alifanya kazi ya ziada kumshawishi Van Persie kubakia lakini ilishindikana na Van Persie alikuwa anataka kuondoka tu.

Kocha huyo wa Arsenal aliulizwa na Televisheni ya Ufaransa kama alikuwa na mpango wa kununua mchezaji mwingine: "Tayari tumeshanunua mchezaji, yuko [Lukas] Podolski na [Olivier] Giroud. Tunasikitika kumpoteza mchezaji mwenye ubora, lakini mkataba wake umebakia mwaka mmoja na hatuna jinsi."
Van Persie aliweka wazi katika taarifa yake ya Julai 4 kwamba anataka kutwaa mataji. Kwa njia nyingine, hafurahishwi na jinsi Arsenal FC inavyokwenda". Alikataa moja kwa moja kumwaga wino na alikuwa amebakiwa na miezi 12. Arsenal ilikuwa ikimtaka kwa udi na uvumba mchezaji huyo.

Taarifa ya Arsenal ilisema: "[Sisi] kama Arsenal tunathibitisha Robin van Persie amekwenda Manchester United. Van Persie anakwenda Manchester kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kabla ya kuanza mazoezi."
Arsenal ilitangaza Paundi 20 milioni kama bei ya kumuuza mchezaji huyo. Kabla ya kwenda nchi za Asia Julai 21, ambako Van Persie hakwenda na klabu ilipokea ofa kutoka klabu za United, City na Juventus, ambazo zote zilimtaka kwa Paundi 15 milioni.

Juzi United iliandika kwenye mtandao wake kuwa "Taarifa Mtu aliyekuwa na furaha alikuwa Wayne Rooney, ambaye alisema sasa safu yao ya ushambuliaji imekamilika.
"Van Persie ni mkali," Rooney alisema. "Amefanya makubwa akiwa na Arsenal kwa miaka mingi. Kuja kwake kutaongeza thamani ya timu na sasa itakuwa Rom + Roo."

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate