EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Wednesday, December 12, 2012

Je mashabiki wataruhusiwa kusimama?.

Kundi moja la mashabiki wa soka nchini Uingereza limesema kuwa vilabu kumi na vitatu nchini Uingereza vimesemekana kuunga mkono, uamuzi wa kuruhusu mashabiki kutizama mechi wakiwa wamesimama.
Mashabiki wa Soka
                                                         Mashabiki wa Soka wa Uingereza.
Siku ya Jumanne, kundi hilo lilitarajia lipata uungwaji mkono kutoka kwa wabunge, kuhusu mipango yake ya kuifanyia pendekezo hilo majaribio wakati wa mechi za ligi kuu ya premier.
Kundi hilo linaamini kuwa mpango uliopigwa marufuku baada ya mkasa uliotokea katika uwanja wa Hillsborough mwaka wa 1989, sasa ni salama.
Awali wasimamizi wa ligi kuu ya Premier walisema kuwa hawataunga mkono pendekezo hilo.
Msemaji wa kundi hilo la FSF, Peter Daykin asema'' Tunahitaji kuchunguza ikiwa itafaulu na njia ya pekee ya kupata jibu ni kwa kuijaribu''
Mkasa wa Hillsborough
Tangu mwaka wa 1994, mamshabiki wote wa soka ni sharti waketi wakati mechi inapoendelea.
Mkasa wa Hillsborough
                                      Eneo la kumbukumbu ya mkasa wa Hillsborough
Hii ni baada ya ripoti ya kamati iliyokuwa ikichunguza mkasa huo wa Hilborough kuwasilisha ripoti yake.Jopo hilo, kupitiwa kwa mwenyekiti wake Lord Justice Taylor, lilipendekeza kuwa ili kuzuia tukio kama hilo mashabiki wote ni sharti waketi.

Lakini mbunge mmoja Roger Godsiff amewasilisha mswada bungeni kutaka serikali kuidhinisha majaribio ya mpango huo.
Kundi la FSF limesema wazo hilo linaungwa mkono na klabu ya Aston Villa, timu zinazoshiriki katika ligi kuu ya Premier nchini Scotland, likiwemo ilabu ya Peterborough United, Cardiff City, Crystal Palace, Derby County na Hull City.

Mpango huo unapendekeza kuanzishwa kwa mfumo ambao mashabiki wataketi sawa na vile wanavyoketi kwenye treni, mfumo ambao kwa sasa unatumiwa katika mataifa kadhaa ya Ulaya kama vile Ujerumani.
Viti vitapangwam kwa njia fulani ili kuruhusu mashabiki wengine waketi chini na wengine wasimame.

Wataalamu wa soka akiwemo afisa mkuu mtendaji wa klabu ya Aston Villa, paul Faulkner na mkuu wa idara ya polisi katika eneo la Midlands Steve Graham wanatarajiwa kuwasilisha suala hilo la kuruhusu mashabiki kusimama, mbele ya kamati maalum ya bunge hii leo.Via BBC SWAHILI.

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate