EFM RADIO

EFM RADIO

HERICONY

Tangaza hapa

Tangaza hapa

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

TANGAZA NA BLOG YAKO HAPA

Monday, December 24, 2012

SWANSEA 1 vs MAN UNITED 1

Katika mchezo mwingine uliochezwa Jumapili, vinara wa ligi hiyo Manchester United walitoka sare ya bao 1-1 na Swansea.
Patrice Evra aliifungia timu yake bao la kuongoza katika dakika ya 16 kwa njia ya kichwa kufuatia kona iliyochongwa na Robin van Persie.
                    Hata hivyo Michu aliisawazishia Swansea katika dakika ya 29.
Mpaka sasa Manchester United inaongoza ligi kuu ya England ikiwa na pointi 43 katika michezo 18, ikifuatiwa na Manchester City yenye pointi 39 na Arsenal imejikita katika nafasi ya nne ikiwa na pointi 30.
Manchester United bado wapo kileleni mwa Ligi Kuu England kwa Pointi 4 mbele ya Mahasimu wao Man City licha ya leo kutoka sare ya Bao 1-1 na Swansea City Uwanjani Liberty.
Man United walitangulia kufunga kwa Bao la kichwa la Patrice Evra kufuatia kona ya Robin van Persie katika Dakika ya 16 lakini Swansea walisawazisha katika Dakika ya 29 kwa Bao la Michu baada ya shuti la Jonathan De Guz kutemwa na Kipa De Gea na kutua kirahisi miguuni mwa Michu.Jitihada za Jonathan De Guzman zikizaa matunda na Michu kumalizia mpira uliotemwa na kipa wa united
                        Michu akishangilia mara baada ya kuisawazishia timu yako goli
Kipindi cha Pili Man United walikosa Bao nyingi pamoja na mbili zilizogonga mwamba  lakini tukio ambalo huenda likaleta mjadala ni pale Robin van Persie alipofanyiwa faulo na Refa kupiga Filimbi lakini Beki wa Swansea, Williams, akaupiga mpira kwa nguvu na kumbabatiza kichwani Van Persie wakati akiwa amelala chini na Van Persie akapandwa na jazba na kuanza kuvutana na Williams.
Refa Michael Oliver aliwapa Kadi za Njano Wachezaji wote hao wawili lakini Sir Alex Ferguson ametaka FA ichukue hatua zaidi kwa Williams ambae alidai angeweza kumvunja shingo Van Persie.
Rise up: Manchester United's Nemanja Vidic (right) leaps with Swansea's Michu
                          Nemanja Vidic (kulia) akigombania mpira na Michu
Evasive action: Patrcie Evra (centre) is challenged by two Swansea defenders
Patrcie Evra (kati) akikatiza katikati ya madifender wawili wa SwanseaFerguson amelalamikia hiyo rafu na kutaka William kufungiwa.

Kocha wa Manchester United Sir Alex Ferguson akifoka baada ya mchezaji wake Robin van Persie kuchezewa rafu mbaya.

VIKOSI:
Swansea:Vorm, Tiendalli, Chico, Williams, Davies, Dyer, Britton, Agustien, de Guzman, Routledge, Michu
Akiba: Tremmel, Graham, Monk, Shechter, Moore, Ki, Richards.
Man United: De Gea, Jones, Evans, Vidic, Evra, Valencia, Carrick, Cleverley, Young, Rooney, van Persie
Akiba: Lindegaard, Giggs, Hernandez, Welbeck, Scholes, Fletcher, Buttner.
Refa: Michael Oliver

No comments:

Post a Comment

HABARI MBALIMBALI

‘Dk. Cheni’ ‘Sharo Milionea ‘Thea’ African Women AGNESS MASOGANGE AK CLASSIC COSMETICS ALI KIBA Amanda Poshy Ant ANT LULU Ashley Toto Aunt Ezekiel Aunty Ezekiel AUNTY LULU Azam Fc Baby Madaha BAHATI BUKUKU Barnaba BATULI BBA Beauty of the day Belle 9 BI KIDUDE BIBI BOMBA Big Brother Big Brother Africa Bill Gates BINTI KIZIWI BOB JUNIOR Bodi ya Filamu Bongo Movie Bongo Movies CCM CHADEMA Chombezo Christina Shusho Chuchu hans. Clouds Media Group Club Bilicanas DAR LIVE DAVINA Dayna Nyange Diamond Dida Diva Loveness Love Dj Ommy Crazy wa Maisha Club DOGO JANJA DOKI DR.CHENI DSTV Dude Dully Sykes EBSS 2013 Elizabeth Michael Epiq Bongo Star Search (EBSS) ESHA BUHETI Ester Bulaya Feza Kessy FIESTA 2014 Flaviana Matata FLORA MBASHA FLORA MVUNGI Francis Cheka GARDNER GLOAL PUBLISHERS GLOBAL TV ONLINE H. BABA Halima Mdee HAMISA Happy birthday Hemedi Hemedy Suleiman HOTUBA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE Hoyce Temu Huddah Monroe HUSINA IRENE PAUL Irene Uyoya ISABELLA J film 4 life Jack Chuz JACK PATRICK Jacob Steven ‘JB’ Jacqueline Dustan JACQUELINE WOLPER Jaji Khamis 'Kashi' Jay Dee JENNIFER KYAKA (ODAMA) JIDE JINI KABULA JK JO Johari Jokate Mwigelo ‘Kidot’. JOTI Joyce Kiria Joyce Kiwia JUX K-LYNN KADINDA kaja Kajala Masanja Kapotive Star Singers KATUNI Kemmy Kero Zetu KHADIJA OMAR KOPA KIKWETUKWETU KILI MUSIC AWARDS KOLETA Lady Jay Dee Lady Jaydee Lake Oil LAVEDA Linah Sanga Linex Lisa Jensen Loveness Diva Lucy Francis Komba Lulu M2 The P MABILIONEA Madam Rita MADELA Magazeti Mahusiano Maimartha Jesse MAINDA MAISHA Makala Malkia Elizabeth MAMTEI MANDELA MARIAM ISMAIL Masanja Mkandamizaji Mashindano ya Miss Tanzania Matangazo Matonya MaxMalipo MAYA MELLIS EDWARD MENINAH MGOSI MKOLONI Mh Halima Mdee mic Michezo MILLEN HAPPINESS MAGESE MISS CHANG'OMBE MISS DAR CITY CENTER Miss East Africa MISS REDD'S IRINGA 2013 MISS TANGA 2013. MISS TANZANIA 2014 Miss Tanzania mwaka 2011 MISS TEMEKE 2014 MISS USTAWI MISS UTALII TANZANIA 2012/13 Miss vyuo vikuu 2013 MKALA MREMBO HUDDAH Mrisho Mpoto Mrisho Ngassa MSHINDI WA REDD'S MISS LAKE ZONE 2013 NI LUCY CHARLES. MSHINDI WA TAJI LA REDDS MISS KANDA YA KATI 2013 Mtitu muziki Mwana FA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Mzee Majuto Nancy Sumari Nani Mtani Jembe? NAPE Nassoro ‘Nora’ Natasha Nay wa Mitego Necta Nelly Kamwelu NEY WA MITEGO Nisha NSSF;Zantel Nyamwela NYimbo Nyota yako OBAMA TANZANIA OMMY DIMPOZ P FUNK PAM D Peniel Mgilwa ‘Penny’ PETIT MAN Profesa Jay Q - CHILA Q Boy Q Chilla QUEEN DARLEEN RACHEL NDAUKA RAIS KIKWETE Rais Kikwete. Rasimu Ya Katiba TZ Ray Ray C Redd’s Miss IFM REDD'S MISS KAGERA 2013 REDD'S MISS TZ REDDS MISS TANZANIA 2014 Redds Miss wa Mikoa REHEMA FABIAN RICHIE RICHIE Rihanna ROSE MUHANDO Rose Ndauka Ruge Mutahaba. SABASABA 2013 Saida Karoli Saikolojia Sajeti SAJUKI Sandra SHAA Shamsa Ford Sheikh Ponda Shilole Sintah Siwema Skin Tricks Snura Mushi Spika Makinda staa Staa Wetu Stella Mwangi STYLE ZA NYWELE Taifa Stars Tamasha la matumaini TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 Tangazo TANZANIA TEGO TENGENEZA WEBSITE NA BLOG TID Tundaman Tupo wangapi? TUZO ZA MWANAMKE BORA WA MWAKA 2013/14 Twanga Pepeta USA PAGEANT 2014‏ VAI Wastara WEMA WEMA SEPETU Yanga Yanga Bingwa 2013 YOUNG D Yvonne Cherry ‘Monalisa’ Z Anton. Zari Zito kabwe

Translate