
Wanafunzi wamepangwa katika shule zenye miundombinu na
walimu kwa masomo husika.
Aidha, kama baadae upungufu utajitokeza, wakuu
wa shule wameelekezwa kufanya taratibu za kuazima walimu wa muda na
kutoa taarifa kwa uongozi wa halmashauri husika kuhusu upungufu wa
walimu uliopo.
Kwa nafasi hii, ninaagiza wanafunzi wote kuripoti katika shule walizopangwa tarehe 29 Julai, 2013.
Kama kutakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuhamia shule nyingine,
uhamisho wa kawaida utafanywa baada ya kuripoti shuleni kupitia kwa mkuu
wa shule husika, Mkurugenzi wa Halmashuri/Manispaa na Katibu Tawala wa
Mkoa.
(Wizara haitabadilisha shule walizopangwa wanafunzi)
Wanaporipoti wanatakiwa kuwa na:
Original Result slip na Living Cerificate
PHILIPO A. MULUGO (MB)
NAIBU WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
10 Julai, 2013
No comments:
Post a Comment