Sakata
la kodi ya line ya simu limeendelea kuwakuna wanasiasa wetu
ambao wamekuwa wakifunguka kwa nyakati mbalimbali kupitia
mitandao ya kijamii....
Baada ya January Makamba, Zitto kabwe naye amefunguka na kudai kuwa kodi hiyo ni batili na ilipitishwa kinyemela kwa sababu ilikuwa imeshaondolewa....
Huu ni ujumbe wake aliouweka katika account yake ya facebook:
Baada ya January Makamba, Zitto kabwe naye amefunguka na kudai kuwa kodi hiyo ni batili na ilipitishwa kinyemela kwa sababu ilikuwa imeshaondolewa....
Huu ni ujumbe wake aliouweka katika account yake ya facebook:
![]() |
No comments:
Post a Comment